MUSHARAFU SASA HURU KUONDOKA PAKISTANI

Alikamatwa na anakabiliwa na mashItaka kadhaa ikiwemo kosa la uhaini.
Mahakama moja nchini Pakistani
imemruhusu rais wa zamani 
Pervez Musharraf kuondoka nchini humo.
Hata hivyo, Musharraf hataruhusiwa kuondoka mara moja nchini Pakistani kwa muda, kwani mahakama hiyo imeipa serikali siku 15 kubatilisha uamuzi huo katika mahakama kuu.
Musharraf alirudi Pakistan kutoka uhamishoni mwaka uliopita akiwa na nia ya kurudi katika ulingo wa siasa.
Alikamatwa na anakabiliwa na mashItaka kadhaa ikiwemo kosa la uhaini.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA ZA KIAFYA ZA KITUNGUU MAJI KATIKA MWILI WA MWANADAMU

UFAHAMU MMEA WA MLONGE NA NAMNA UNAVYOFANYA KAZI NDANI YA MWILI WA MWANADAMU