MUSHARAFU SASA HURU KUONDOKA PAKISTANI

Alikamatwa na anakabiliwa na mashItaka kadhaa ikiwemo kosa la uhaini.
Mahakama moja nchini Pakistani
imemruhusu rais wa zamani 
Pervez Musharraf kuondoka nchini humo.
Hata hivyo, Musharraf hataruhusiwa kuondoka mara moja nchini Pakistani kwa muda, kwani mahakama hiyo imeipa serikali siku 15 kubatilisha uamuzi huo katika mahakama kuu.
Musharraf alirudi Pakistan kutoka uhamishoni mwaka uliopita akiwa na nia ya kurudi katika ulingo wa siasa.
Alikamatwa na anakabiliwa na mashItaka kadhaa ikiwemo kosa la uhaini.
Share this post :

Chapisha Maoni


Get This:Techkgp

PAGE VIEWERS

About Me

Blog Archive

Blog za rafiki zangu

Get This:Techkgp
3D Live Statistics
 
Support : The Bantu | Mufandish | Mufandish Inc
Copyright © 2011. MUFANDISH NEWS - All Rights Reserved
Template Created by Mufandish Inc Published by Mufandish Mufandish
Proudly powered by Blogger