MZEE SMALL AFARIKI DUNIA


Muigizaji mkongwe wa hapa nchini Mzee Saidi Ngamba maarufu kama Mzee Small afariki dunia usiku wa leo katika hospitali ya taifa ya muhimbili ambapo alikuwa amelaza akifanyiwa matibabu hospitalini hapo.

Taarifa hizi zimethibitishwa na mtoto wa marehemu Ndugu Mahmoud Said amesema kuwa ni kweli Mzee Small amefariki jana majira ya saa nne (04) na nusu usiku hospitalini hapo ambapo alikuwa akifanyiwa matibabu

taratibu za mazishi zinaendelea kufanyika nyumbani kwake Tabata Dar Es Salaam, hivyo kadiri tutakapokuwa tunazipata taarifa kuhusu yanayoendelea katika msiba huu basi tatajulisha kupitia Blog yako hii ya THE BANTU.

Tunamuombea Mzee wetu huyu Allah aipokee roho yake na ailaze mahali pema peponi.
Share this post :

Chapisha Maoni


Get This:Techkgp

PAGE VIEWERS

About Me

Blog Archive

Blog za rafiki zangu

Get This:Techkgp
3D Live Statistics
 
Support : The Bantu | Mufandish | Mufandish Inc
Copyright © 2011. MUFANDISH NEWS - All Rights Reserved
Template Created by Mufandish Inc Published by Mufandish Mufandish
Proudly powered by Blogger