Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Agosti, 2014

TAZAMA PICHA ZA KAMATI ZA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA LEO.

Picha
 PICHA ZA KAMATI ZA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA LEO.  Makamu Mwenyekiti wa Kamati Namba 11 ya Bunge Maalum la Katiba,Mhe. Hamad Yussuf Massauni akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma leo kwenye ukumbi wa mikutano wa St. Gasper kuhusu mambo yaliyojiri katika Kamati yake.Kulia ni Katibu wa Kamati hiyo Bakari Kishoma.  Baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakijadiliana jambo mara baada ya mapumziko ya kikao cha leo mjini Dodoma leo kwenye ukumbi wa mikutano wa St. Gasper kulia hapo ni Profesa Hamza Njozi Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro.  Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba,Mhe. Adam Malima akijadiliana jambo na mjumbe wenzake  John Cheyo mara baada ya mapumziko ya kikao cha leo mjini Dodoma leo kwenye ukumbi wa mikutano wa St. Gasper.  Baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakijadiliana jambo mara baada ya mapumziko ya kikao cha leo mjini Dodoma leo kwenye ukumbi wa mikutano wa S...

KWA KWELI MICHEPUKO NI NOUMA

Picha
Akiwa katika machela hospitalini