FAIDA ZA KIAFYA ZA KITUNGUU MAJI KATIKA MWILI WA MWANADAMU

 
 
 
Kitunguumaji ni aina ya mboga ya yungiyungi.

Ni mboga yenye harufu kali inayochangamsha.

Kitunguu kimethibitika kisayansi kuwa na manufaa  makubwa sana katika afya ya  mwanadamu.
 
 
Zifuatazo ni faida za kiafya za kitunguu  maji.

1.        Juisi  ya  Kitunguu  Huua  vijidudu  vya  kifua  kikuu.


Tafiti mbalimbali za kisayansi zimethibitisha kuwa juisi ya kitunguu  ina uwezo wa kuua vijidudu vinavyosababisha maradhi ya kifua-kikuu(Huua baada tu ya mgonjwa  kunusa moshi wake)

2.  Kitunguu  maji  huongeza  hamu  ya  kula.

Kitunguu maji kikifanyiwa kuwa  achari, ukali wake hupungua huongeza mno  hamu ya kula.

2.        Huupa  mwili  nishati  na  nguvu
Kitunguu  maji kikiliwa  kikiwa kimechomwa, huongeza nguvu na  nishati  mwilini  na  huimarisha misuli  ya  mwili.



3.         Huufanya  uso kunawiri
Kitunguu  maji  kikichomwa  na  kasha  kuliwa huufanya uso kuwa mweupe, mn’gavu  na  wenye  kunawiri.

4.         Kitunguu  maji  huongeza  hamu  ya  kula
 
5.         Kitunguu  husaidia  kulainisha  tumbo
 
6.         Kitunguu  husaidia  kutibu  tatizo  la  kukosa haja  kubwa
 
7.         Kitunguu  maji  kikipikwa  na  kuliwa  pamoja  na  samli  , husaidia  kuongeza  nguvu  za  kiume  pamoja  na  kuboresha  nguvu  za  kiume.
 
8.  Kitunguu  kikitengenezwa  supu  pamoja  na  nyama, huongeza hamu  ya  tendo  la  ndoa  kwa  wanawake.
 
9.  Kitunguu  maji  husaidia kutibu  homa  ya  manjano.
 
10.    Kitunguu maji husaidia kuvunja vijiwe  tumboni
 
11.Kitunguu  maji  hutumika  kutibu  tatizo  la  kukosa  hedhi  kwa  wanawake
 
12.Kitunguu  maji  kina  utajiri  wa  Vitamini  C  ambayo  husaidia  kuzuia  kukua  kwa  bacteria  kwenye  jeraha na  kuongeza  nishati  kwenye  mbegu  za  kiume.
 
13.Kitunguu maji kina madini ya  salfa,chuma na vitamin ambayo husaidia  kutia  nguvu  kwenye  mishipa
 
14.Kitunguu maji husaidia kuwatibu wagonjwa wa kisukari.
 
15.Kitunguu maji husaidia kutibu maradhi ya moyo pamoja na kuimarisha mfumo wa mzunguko wa damu mwilini.
 
16.Kitunguu maji kimethibitika kuwa vijiuasumu vyenye nguvu zaidi kuliko penesilini(penicillin)kwa hivyo hupoza kifuakikuu,kaswende(syphillis)na kisonono(gonorrhea),pamoja na kuua vijidudu vingi vya hatari.
 
17.  Hutibu   tatizo  la  Pumu:
Kitunguu  maji  kikitumika  pamoja  na  asali, husaidia  kutibu  tatizo  la  pumu.
 

17.    Husaidia  kutibu  tatizo  la Uvimbe wa pafu (Pneumonia )
 

18. Kituu  maji  husaidia  kutibu  tatizo  la Saratani  za  aina  mbalimbali.(Cancer):

19. Kitunguu  maji  husaidia  kutibu  vidonda  ndugu.


20. Kitunguu  maji  husaidia  kutibu  tatizo  la  mvilio wa damu

21. Kitunguu  maji  husaidia  kutibu  majipu


22. Husaidia  kutibu  tatizo  la Chunusi:

23. Husaidia  kuondoa  tatizo  la  Ukurutu (Eczema) kwenye  ngozi.

24.  Husaidia  kutibu  Saratani ya ngozi.

25. Husaidia  kutibu  matatizo  ya  figo.

26. Husaidia  kutibu  tatizo  la  Kikohozi kwa wakubwa na wadogo

27. Husaidia  kutibu  maradhi ya macho:
Kikohozi:

28. Husaidia  kupunguza uzito  wa  mwili.

IMETAYARISHWA  NA  NEEMA  HERBALIST  &  NUTRITIONAL FOODS  CLINIC  0766  538384.
Share this post :

+ maoni + 2 maoni

28 Agosti 2019, 08:36

Ni kweli kitunguu maji husaidia utunzaji wa kumbukumbu ktk ubongo. Huongeza ufaham

2 Desemba 2020, 17:54

Asante kwa elimu yenu nimzuri sana

Chapisha Maoni


Get This:Techkgp

PAGE VIEWERS

About Me

Blog Archive

Blog za rafiki zangu

Get This:Techkgp
3D Live Statistics
 
Support : The Bantu | Mufandish | Mufandish Inc
Copyright © 2011. MUFANDISH NEWS - All Rights Reserved
Template Created by Mufandish Inc Published by Mufandish Mufandish
Proudly powered by Blogger