TWIGA CEMENT YAJENGA BARABARA YA TEGETA



Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Pascal Lesoinne (wa tatu kushoto) Diwani wa Kata ya Wazo, John Moro (kushoto kwake) wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Wazo Misikiti na PK Tegeta itakayojengwa na kampuni hiyo. Hafla ya uzinduzi ilifanyika Wazo Hill nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Wengine kutoka kulia ni Meneja Huduma za Jamii wa TPCC, Natasha D’Souza, Mkuu wa Rasilimali Watu wa kampuni hiyo, Jayne Nyimbo na Mwenyekiti wa Mtaa wa Wazo, Mtuzya Abdallah ,Mtuzya. Ujenzi huo utagharimu shs milioni 175.…
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Pascal Lesoinne (wa tatu kushoto) Diwani wa Kata ya Wazo, John Moro (kushoto kwake) wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Wazo Misikiti na PK Tegeta itakayojengwa na kampuni hiyo. Hafla ya uzinduzi ilifanyika Wazo Hill nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Wengine kutoka kulia ni Meneja Huduma za Jamii wa TPCC, Natasha D’Souza, Mkuu wa Rasilimali Watu wa kampuni hiyo, Jayne Nyimbo na Mwenyekiti wa Mtaa wa Wazo, Mtuzya Abdallah ,Mtuzya. Ujenzi huo utagharimu shs milioni 175.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Pascal Lesoinne (wa pili kushoto) Diwani wa Kata ya Wazo, John Moro (kushoto kwake) pamoja na baadhi ya wakazi wa Wazo Hill, wakishangilia muda mfupi baada ua uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Wazo Misikiti na PK Tegeta itakayojengwa na kampuni hiyo. Hafla ya uzinduzi ilifanyika Wazo Hill nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Wengine kutoka kulia ni Meneja Huduma za Jamii wa TPCC, Natasha D’Souza, Mkuu wa Rasilimali Watu wa kampuni hiyo, Jayne Nyimbo na Mwenyekiti wa Mtaa wa Wazo, Mtuzya Abdallah ,Mtuzya. Ujenzi huo utagharimu shs milioni 175.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Pascal Lesoinne (wa tatu kushoto) Diwani wa Kata ya Wazo, John Moro (kushoto kwake) wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Wazo Misikiti na PK Tegeta itakayojengwa na kampuni hiyo. Hafla ya uzinduzi ilifanyika Wazo Hill nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Wengine kutoka kulia ni Meneja Huduma za Jamii wa TPCC, Natasha D’Souza, Mkuu wa Rasilimali Watu wa kampuni hiyo, Jayne Nyimbo na Mwenyekiti wa Mtaa wa Wazo, Mtuzya Abdallah ,Mtuzya. Ujenzi huo utagharimu shs milioni 175.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Pascal Lesoinne (wa pili kushoto) Diwani wa Kata ya Wazo, John Moro (kushoto kwake) pamoja na baadhi ya wakazi wa Wazo Hill, wakishangilia muda mfupi baada ua uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Wazo Misikiti na PK Tegeta itakayojengwa na kampuni hiyo. Hafla ya uzinduzi ilifanyika Wazo Hill nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Wengine kutoka kulia ni Meneja Huduma za Jamii wa TPCC, Natasha D’Souza, Mkuu wa Rasilimali Watu wa kampuni hiyo, Jayne Nyimbo na Mwenyekiti wa Mtaa wa Wazo, Mtuzya Abdallah ,Mtuzya. Ujenzi huo utagharimu shs milioni 175.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Pascal Lesoinne (katikati) akibadilishana mawazo na Diwani wa Kata ya Wazo, John Moro muda mfupi kabla ya hafla ya uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Wazo Misikiti na PK Tegeta itakayojengwa na kampuni hiyo. Hafla ya uzinduzi ilifanyika Wazo Hill nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Kulia ni Ofisa Mtendaji wa kata hiyo, Ibrahim Mabewa. Ujenzi huo utagharimu shs milioni 175.
Baadhi ya watu waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Wazo Msikiti na Tegeta PK itakayojengwa na kampuni ya Twiga Cement.

Baadhi ya watu waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Wazo Msikiti na Tegeta PK itakayojengwa na kampuni ya Twiga Cement.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA ZA KIAFYA ZA KITUNGUU MAJI KATIKA MWILI WA MWANADAMU

UFAHAMU MMEA WA MLONGE NA NAMNA UNAVYOFANYA KAZI NDANI YA MWILI WA MWANADAMU