LEONAL MESSI MATATANI NCHINI HISPANIA


Mwanasoka bora duniani ambae atambulikwa kwa jina Leonal Messi yupo matatani nchini hispania ni mara tu baada ya kushtakiwa na serikali ya hispania kwa kutolipa kodi ya makazi nchini humo.

Leonale Messi na baba yake ndio washtakiwa wakubwa wa kosa hilo hivyo serikali imewaambia kua wajitahidi kadiri wawezavyo waweze kulipa kodi la sivyo basi itabidi wahukumiwe kisheria. taarifa hizi zimepatikana nchini hispania hapo jana kupitia BBC dira ya dunia. kwa kweli ni jambo la fedheha na aibu kubwa kwa mtu maarufu kama Leonal Messi kufikia hatua ya kudaiwa na kupelekwa mahakamani kwa kutokulipa kodi ya makazi. Baba wa mchezaji huyo wa dunia amesema kuiambia mahakama kuwa atajitahidi kadiri ya uwezo wake aweze kulipa kodi hiyo.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA ZA KIAFYA ZA KITUNGUU MAJI KATIKA MWILI WA MWANADAMU

UFAHAMU MMEA WA MLONGE NA NAMNA UNAVYOFANYA KAZI NDANI YA MWILI WA MWANADAMU