MCHEZJI WA ZAMANI WA MANCHESTER UNITED QUINTON FORTUNE ATEMBELEA AZAM CHAMAZI COMPLEX - ASHANGAZWA NA UBORA WAKE


Quinton Fortune, Mchezaji wa zamani wa Manchester United ambaye kwa sasa anasomea fani ya ualimu wa soka kwenye kompaundi ya Manchester United alipotembelea Azam FC Chamazi leo kwa mwaliko wa DHL, Fortune alishangazwa na ubora wa Center ya Azam FC na kusema hajawahi kuona kitu kama hiki kinachomilikiwa na klabu hata kwenye nchi yake ya Afrika ya Kusini hakuna klabu inayomiliki Academy kama hiyo ya Azam fc ya 
Tanzania




Share this post :

Chapisha Maoni


Get This:Techkgp

PAGE VIEWERS

About Me

Blog Archive

Blog za rafiki zangu

Get This:Techkgp
3D Live Statistics
 
Support : The Bantu | Mufandish | Mufandish Inc
Copyright © 2011. MUFANDISH NEWS - All Rights Reserved
Template Created by Mufandish Inc Published by Mufandish Mufandish
Proudly powered by Blogger