![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjuGuu0eCK8ca4T_RlCIxUALo3K_4PxLs7nR-9IphymKgjKJ3l4UF-v0-4fPBQyomcnJXlJYZSA9ZDtC50DO6JyYemS_ReW97nJzXGTf8apQBWQto2YNam_Eca9FrxjBUnnppJCOP4FR50/s640/13735599_10208776906933046_8958278858931461078_o.jpg)
Basi lililogonga treni likionekana kwa ndani mara baada ya ajali hiyo kutokea
Taarifa iliyotufikia hivi punde, inaeleza kuwa Basi la UDA lenye namba za usajili T 696 CVP limegonga treni katika eneo la Kamata Jijini Dar es Salaam usiku huu wakati Basi hilo likotokea stendi ya Gerezani Kariakoo kuelekea Mbagala, inadaiwa kuna watu wamejeruhiwa katika ajali hiyo huku wengine wakidhaniwa kupoteza maisha. tutawaletea taarifa kamili baada ya kuipata kutoka vyombo vya Ulinzi wa Usalama jijini Dar es
salaam.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi59gQaD8O6bJbWjrAZcsSVlwjZJygK8itzSVNekLR_zlcSJlzDlk02VhyphenhyphenQq3ox21cMVCQBcYtbqWU_CCuvM1AcfTuxM07dfe3k5YmsyJ-_vyJPxJTEf1PAqJAqLfr7uX4WNzM3ci8eBKY/s640/13679913_10208776905012998_7100227019259395107_o.jpg)
Chapisha Maoni