MWANAMKE KUONGOZA MAREKANI?



Hilary Clinton amekuwa mwanamke wa kwanza kuongoza katika kinyang'anyiro cha urais ndani ya chama kikubwa nchini Marekani.
Wajumbe wa Mkutano mkuu wa chama cha Democratic nchini Marekani wamemchagua seneta wa zamani na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje kuwa mgombea Urais kupitia chama hicho.

Mpinzani wake mkuu Bernie Sanders alimaliza mchakato huo wa kuwania nafasi hiyo ya kukiwakilisha chama kwa kuwataka wajumbe, kumchagua Bi Clinton kwa kauli moja.
Share this post :

Chapisha Maoni


Get This:Techkgp

PAGE VIEWERS

About Me

Blog Archive

Blog za rafiki zangu

Get This:Techkgp
3D Live Statistics
 
Support : The Bantu | Mufandish | Mufandish Inc
Copyright © 2011. MUFANDISH NEWS - All Rights Reserved
Template Created by Mufandish Inc Published by Mufandish Mufandish
Proudly powered by Blogger