MWANAMKE KUONGOZA MAREKANI?



Hilary Clinton amekuwa mwanamke wa kwanza kuongoza katika kinyang'anyiro cha urais ndani ya chama kikubwa nchini Marekani.
Wajumbe wa Mkutano mkuu wa chama cha Democratic nchini Marekani wamemchagua seneta wa zamani na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje kuwa mgombea Urais kupitia chama hicho.

Mpinzani wake mkuu Bernie Sanders alimaliza mchakato huo wa kuwania nafasi hiyo ya kukiwakilisha chama kwa kuwataka wajumbe, kumchagua Bi Clinton kwa kauli moja.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAIDA ZA KIAFYA ZA KITUNGUU MAJI KATIKA MWILI WA MWANADAMU

UFAHAMU MMEA WA MLONGE NA NAMNA UNAVYOFANYA KAZI NDANI YA MWILI WA MWANADAMU