FAIDA KUMI (10) ZA KUNYWA MAJI MOTO YENYE LIMAO KILA UAMKAPO ASUBUHI



1.Huongeza Kinga yako ya mwili hasa kupambana na magonjwa madogo kama mafua, na kikohozi kutokana na kuwa na vitamin C

2. Husafisha Mfumo wako wa chakula, kuondoa sumu mwilini na kuzuia tumbo kujaa gesi mara kwa mara
 
3. Huleta hewa safi kinywani. Ni Muhimu sana kwa watu wanaonuka midomo
 
4. Hukuongezea uchangamfu na kufanya siku yako ianze vizuri sana
 
5. Husaidia majeraha kupona kwa haraka kutokana na kuwa na ascorbic acid ya kutosha. Pia huimarisha mifupa
 
6. Husaidia mmeng’enyo wa chakula utakachokula asubuhi au mchana kwa kuondoa vikwazo vyote vinavyoweza kuzuia umeng’enyaji wa chakula.
 
7. Huimarisha Ngozi yako, kuondoa makunyanzi na kukupa muonekano mzuri.
 
8. Husaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza uzito kwani maji moto ya limao huyeyusha mafuta ya kutosha.
 
9. Huyapa macho yako afya nzuri na kuimarisha kuona.
 
10. Huondoa hali ya kuhitaji kahawa kila asubuhi ambayo si nzuri kiafya.
Share this post :

+ maoni + 1 maoni

15 Desemba 2019, 20:49

Na maganda yake au maji ya limau tu

Chapisha Maoni


Get This:Techkgp

PAGE VIEWERS

About Me

Blog Archive

Blog za rafiki zangu

Get This:Techkgp
3D Live Statistics
 
Support : The Bantu | Mufandish | Mufandish Inc
Copyright © 2011. MUFANDISH NEWS - All Rights Reserved
Template Created by Mufandish Inc Published by Mufandish Mufandish
Proudly powered by Blogger