MMILIKI WA BLOG YA THE BANTU NDUGU MUFANDISH J. MUFANDISH AFUNGA NDOA SEPT 18 2016

 Mufandish aliyevaa kanzu nyeupe na kilemba begani akisubiri tu tendo muhimu siku ya sep 18 Tabata Kinyerezi

 

 Mufandish akiwa na mke wake mara tu baada ya kufungishwa ndoa
 Mufandish akiwa katika picha ya pamoja na familia ya mkewe Bi Kaundime Bakari Mallingumu
 Mufandish akiwa katika picha ya pamoja ikiongozwa na Mh. Karume Mwamtuya



Allah ajaaliye ndoa hii iwe ya kheri na iweze kudumu 
Aaamin In Shaa Allah
 



Share this post :

+ maoni + 1 maoni

4 Oktoba 2016, 12:20

hongera kaka.namuona prof lipumba

Chapisha Maoni


Get This:Techkgp

PAGE VIEWERS

About Me

Blog Archive

Blog za rafiki zangu

Get This:Techkgp
3D Live Statistics
 
Support : The Bantu | Mufandish | Mufandish Inc
Copyright © 2011. MUFANDISH NEWS - All Rights Reserved
Template Created by Mufandish Inc Published by Mufandish Mufandish
Proudly powered by Blogger