Mufandish aliyevaa kanzu nyeupe na kilemba begani akisubiri tu tendo muhimu siku ya sep 18 Tabata Kinyerezi
Mufandish akiwa na mke wake mara tu baada ya kufungishwa ndoa
Mufandish akiwa katika picha ya pamoja na familia ya mkewe Bi Kaundime Bakari Mallingumu
Mufandish akiwa katika picha ya pamoja ikiongozwa na Mh. Karume Mwamtuya
Allah ajaaliye ndoa hii iwe ya kheri na iweze kudumu
Aaamin In Shaa Allah
+ maoni + 1 maoni
hongera kaka.namuona prof lipumba
Chapisha Maoni