TAZAMA FAIDA ZA MBAAZI LEO HII ILI UJUE NAMNA GANI UNAWEZA KUJITIBU KWA KUTUMIA MBAAZI



Mbaazi ni moja ya dawa za mitishamba zinazotibu mambo mengi ikiwemo kurudisha bikra ya msichana endapo majani yake yatatumika na kuandaliwa vyema. Tuwe makini katika kufuata njia za kuandaa dawa yetu.

MAANDALIZI YA KUANDAA MAJANI YA MBAAZI (kwa wanawake)

Chukua majani ya mbaazi kisha yatwang
Weka maji kidogo vaa kama pedi kwa muda wa wiki utaona mabadiliko

FAIDA ZA KUTUMIA MAJANI YA MBAAZI (kwa wanawake)

Kukausha uke

Kuondoa majimaji ukeni

Kuongeza joto ukeni wakati wa jimai

Kuongeza hamu ya tendo la ndoa

Husogeza kizazi karibu

Kusafisha kuta za uke

NB : Mbaazi ni mti wenye maajabu makubwa kuanzia Mizizi yake mpaka majani


TIBA KWA WATU WOTE

Dawa hii inaweza kutibu magonjwa yafuatayo

1-Inauwezo mkubwa wa kushusha homa

2-Husaidia kuponesha vidonda.

3-Husaidia kurekebisha mzunguko wa hedhi kwa wanawake.

4-Husaidia kupunguza uvimbe

5-Huponyesha kifua na kukohoa.

6-Husafisha kibofu/njia ya mkojo.

7- Huongeza kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mbali mbali


Share this post :

Chapisha Maoni


Get This:Techkgp

PAGE VIEWERS

About Me

Blog Archive

Blog za rafiki zangu

Get This:Techkgp
3D Live Statistics
 
Support : The Bantu | Mufandish | Mufandish Inc
Copyright © 2011. MUFANDISH NEWS - All Rights Reserved
Template Created by Mufandish Inc Published by Mufandish Mufandish
Proudly powered by Blogger