WALIMU WA SHULE YA SEKONDARI UMWE WAFANYA TAFRIJA YA KUJENGA MAHUSIANO MAZURI LEO KAZINI

 

Walimu wa shule ya Sekondari Umwe iliyopo Kata ya Umwe Tarafa ya Ikwiriri Wilayani Rufiji wafanya tafrija fupi ambayo inalenga kukuza mahusiano mazuri kazini. Tafrija fupi ambayo imeongozwa na Mkuu wa Shule hiyo Ndugu Bakari Elisafi Mfingi ilifanyika kwa kuchinja Mbuzi, Kuku pamoja na chakula cha pamoja. The Bantu ilifanya mahojiano na Mkuu wa Shule hiyo akisema kuwa hii ni sehemu ya utaratibu wetu kama Stuff kujumuika pamoja kwa siku moja kwa kila term tukiwa na dhamira ya kukuza uhusiano kazini kwani tunaamini kuwa mahusiano mazuri kazini ndiyo yanayoleta ufanisi katika utendaji kazi wetu. Alisema Mfingi.

Habari Picha



















Share this post :

Chapisha Maoni


Get This:Techkgp

PAGE VIEWERS

About Me

Blog Archive

Blog za rafiki zangu

Get This:Techkgp
3D Live Statistics
 
Support : The Bantu | Mufandish | Mufandish Inc
Copyright © 2011. MUFANDISH NEWS - All Rights Reserved
Template Created by Mufandish Inc Published by Mufandish Mufandish
Proudly powered by Blogger