CHAMA CHA SKAUTI TANZANIA WILAYA YA RUFIJI KATIKA KUADHIMISHA SIKUKUU YA MUUNGANO WAMETEMBELEA KITUO CHA AFYA KUWAFARIJI WAGONJWA

Na: Yussuf Yussuf
Chama cha Skauti Wilaya ya Rufiji mapema leo hii wametembelea kituo cha afya cha Ikwiriri kwa lengo la kuwatembelea wagonjwa na kuwafariji ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Chama hicho ni dasturi yao kwa kila matukio ya kitaifa yanapotokea hufanya mambo kama haya ya kujitolea kama ilivyo utamaduni wao. Sambamba na hilo wameweza kupata kujifunza historia hii ya Muungano kutoka kwa wazee walioushuhudia Muungano huo .






 

Share this post :

Chapisha Maoni


Get This:Techkgp

PAGE VIEWERS

About Me

Blog Archive

Blog za rafiki zangu

Get This:Techkgp
3D Live Statistics
 
Support : The Bantu | Mufandish | Mufandish Inc
Copyright © 2011. MUFANDISH NEWS - All Rights Reserved
Template Created by Mufandish Inc Published by Mufandish Mufandish
Proudly powered by Blogger