FAIDA ZA KIAFYA ZA KITUNGUU MAJI KATIKA MWILI WA MWANADAMU
Kitunguumaji ni aina ya mboga ya yungiyungi. Ni mboga yenye harufu kali inayochangamsha. Kitunguu kimethibitika kisayansi kuwa na manufaa makubwa sana katika afya ya mwanadamu. Zifuatazo ni faida za kiafya za kitunguu maji. 1. Juisi ya Kitunguu Huua vijidudu vya kifua kikuu. Tafiti mbalimbali za kisayansi zimethibitisha kuwa juisi ya kitunguu ina uwezo wa kuua vijidudu vinavyo sababisha maradhi ya kifua-kikuu ( Huua baada tu ya mgonjwa kunusa moshi wake) 2. Kitunguu maji huongeza hamu ya kula. Kitunguu maji kikifanyiwa kuwa achari, ukali wake hupungua huongeza mno hamu ya kula. 2. Huupa mwili nishati na nguvu Kitunguu maj...








.jpg)



Iko vizuri Sana hongera kwa mapambano.
JibuFuta