Machapisho

NAFASI ZA KAZI SERIKALINI

Picha
Kwa maelezo zaidi kuhusu namna ya kutuma maombi fungua hizo link hapo chini. MLIMBA DC B ABATI DC T ANROADS RUWASA

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 HAYA HAPA

Picha
Bofya hapa kupata Matokeo

UTEUZI NA UHAMISHO WA WAKURUGENZI NA MAKATIBU TAWALA

Picha
 

CHAMA CHA SKAUTI TANZANIA WILAYA YA RUFIJI KATIKA KUADHIMISHA SIKUKUU YA MUUNGANO WAMETEMBELEA KITUO CHA AFYA KUWAFARIJI WAGONJWA

Picha
Na: Yussuf Yussuf Chama cha Skauti Wilaya ya Rufiji mapema leo hii wametembelea kituo cha afya cha Ikwiriri kwa lengo la kuwatembelea wagonjwa na kuwafariji ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Chama hicho ni dasturi yao kwa kila matukio ya kitaifa yanapotokea hufanya mambo kama haya ya kujitolea kama ilivyo utamaduni wao. Sambamba na hilo wameweza kupata kujifunza historia hii ya Muungano kutoka kwa wazee walioushuhudia Muungano huo .  

MBUNGE WA JIMBO LA RUFIJI AFUTURISHA MAELFU YA WANANCHI IKWIRIRI RUFIJI

Picha
IKWIRIRI RUFIJI-PWANI  SIKU YA JANA MAWAIDHA YA MBUNGE WA RUFIJI KABLA YA MUDA WA IFTARI. Mbunge wa Rufiji na Waziri wa Mali Asili na Utalii Nchini  Mhe, Mohamed Mchengerwa Kupitia Wana Rufiji Atoa Shukrani za dhati kwa Mhe, Rais Samia Suluhu kuendelee kumtakia kheri kuwa na Afya Njema na Upendo wa dhati kwa Wana Rufiji na Watanzania wote  katika  Kutekeleza Majukumu yake na Maendeleo anayoendelea kuwaletea Wana Rufiji Ameyasema hayo mbele ya wananchi wa Tarafa ya ikwiriri. Ikiwa ni siku ya Pili ya Kufuturisha Wananchi na Wakazi wa Rufiji, Siku ya  Jana Wamejitokeza  wananchi takriban 8500 kwenye Futari ya Ikwiriri ikitanguliwa na Futari ya Utete ya Tarehe 8/4. Aidha Mhe Mchengerwa amewasisitiza wana Rufiji pamoja na Mfungo Mtukufu wa Ramadhani kuzingatia Ibada muhimu ya kufanya Kazi kwani kwa mujibu wa mafundisho ya Dini ya Kiislamu , Kazi ni Ibada iliyotiliwa mkazo na Allah sw na mtume wake Mohammed  saw, hivyo shime kwa wana Rufiji kufanya kazi kwa ...

MRADI WA SHULE BORA NCHINI WAZINDULIWA MKOANI PWANI

Picha
  WAZIRI wa Uingereza anayeshughulikia Afrika, Vicky Ford amesema ndoto yake Ni kuona ufadhili kutoka nchini humo unaleta matokeo chanya nchini Tanzania, kwa kuhakikisha Watoto wenye mahitaji maalum ,wenye Mazingira magumu na watoto wa kike wanapata elimu bora. Aidha amesema ufadhili huo kupitia Shirika la msaada la nchi hiyo, linalenga kufikia watoto milioni nne nchini. Akizindua mradi wa shule bora ,mkoa wa Pwani ukiwa Ni mwenyeji, Ford alisema jamii, Serikali, wadau wa elimu wanapaswa kushirikiana kurudisha wimbi la wanafunzi walioacha shule kwa changamoto mbalimbali waweze kuendelea na masomo. "Tutaweka kipaombele kwa watoto wenye mahitaji maalum,wanaoishi kwenye Mazingira magumu na watoto wa kike, kupata haki ya kuendelea kusoma katika Mazingira bora "alifafanua Ford. Awali Waziri wa elimu, prof.Adolf Mkenda Alieleza mradi huo umefadhiliwa na Uingereza kwa paundi milioni Tisa ,ambapo unafikia mikoa Tisa, ili kuhakikisha Watoto wote hata wenye changamoto mbalimbali wanapa...