TAZAMA FAIDA ZA MBAAZI LEO HII ILI UJUE NAMNA GANI UNAWEZA KUJITIBU KWA KUTUMIA MBAAZI
Mbaazi ni moja ya dawa za mitishamba zinazotibu mambo mengi ikiwemo kurudisha bikra ya msichana endapo majani yake yatatumika na kuandaliwa vyema. Tuwe makini katika kufuata njia za kuandaa dawa yetu. MAANDALIZI YA KUANDAA MAJANI YA MBAAZI (kwa wanawake) Chukua majani ya mbaazi kisha yatwang Weka maji kidogo vaa kama pedi kwa muda wa wiki utaona mabadiliko FAIDA ZA KUTUMIA MAJANI YA MBAAZI (kwa wanawake) Kukausha uke Kuondoa majimaji ukeni Kuongeza joto ukeni wakati wa jimai Kuongeza hamu ya tendo la ndoa Husogeza kizazi karibu Kusafisha kuta za uke NB : Mbaazi ni mti wenye maajabu makubwa kuanzia Mizizi yake mpaka majani TIBA KWA WATU WOTE Dawa hii inaweza kutibu magonjwa yafuatayo 1-Inauwezo mkubwa wa kushusha homa 2-Husaidia kuponesha vidonda. 3-Husaidia kurekebisha mzunguko wa hedhi kwa wanawake. 4-Husaidia kupunguza uvimbe 5-Huponyesha kifua na kukohoa. 6-Husafisha kibofu/njia ya mkojo. 7- Huongeza kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mbali mbali